KARIBUNI

Ahsanteni sana kuweza kuwa na mimi kwenye tasnia nzima ya filamu na juweni wote nawapenda na nashkuru kuingia kwenye blog yangu
naahidi utafurahi kuwa kwenye blog ya NDAUKA ENTERTAINMENT

Monday, November 5, 2012

Hii ni filamu nyengine ambayo Rose Ndauka amecheza na wasanii wengine wote na ni filamu nzuri.
Naomba mungu aibariki Tanzania

No comments:

Post a Comment