Karibuni sana wote kwenye blog yangu inayohusiana na bongo movie na kila kitu kuhusiana na entertainment na jamii.
KARIBUNI
Ahsanteni sana kuweza kuwa na mimi kwenye tasnia nzima ya filamu na juweni wote nawapenda na nashkuru kuingia kwenye blog yangu
naahidi utafurahi kuwa kwenye blog ya NDAUKA ENTERTAINMENT
naahidi utafurahi kuwa kwenye blog ya NDAUKA ENTERTAINMENT
Saturday, January 7, 2012
NEXT MOVIE
NDAUKA ENTERTAINMENT KUMTOA RASMI KIJANA MAHIRI KATIKA FILAMU ZA KIBONGO ANAEKWENDA KWA JILA LA KHALEED TAJIRI NA KWENYE FILAMU HII YA UPOFU AMBAYO INATARAJIWA KUWEPO SOKONI MUDA SIO MREFU NI KAZI ILIYOFANYWA KWA UMAHIRI MKUBWA NA KAMPUNI YA TREADSTONE INC IKISHIRIKIANA NA NDAUKA ENTERTAINMENT......COMING SOON
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
nice sisi tunasubiri
ReplyDelete