KARIBUNI

Ahsanteni sana kuweza kuwa na mimi kwenye tasnia nzima ya filamu na juweni wote nawapenda na nashkuru kuingia kwenye blog yangu
naahidi utafurahi kuwa kwenye blog ya NDAUKA ENTERTAINMENT

Saturday, January 7, 2012

NEXT MOVIE

NDAUKA ENTERTAINMENT KUMTOA RASMI KIJANA MAHIRI KATIKA FILAMU ZA KIBONGO ANAEKWENDA KWA JILA LA KHALEED TAJIRI NA KWENYE FILAMU HII YA UPOFU AMBAYO INATARAJIWA KUWEPO SOKONI MUDA SIO MREFU NI KAZI ILIYOFANYWA KWA UMAHIRI MKUBWA NA KAMPUNI YA TREADSTONE INC IKISHIRIKIANA NA NDAUKA ENTERTAINMENT......COMING SOON

1 comment: