Karibuni sana wote kwenye blog yangu inayohusiana na bongo movie na kila kitu kuhusiana na entertainment na jamii.
KARIBUNI
Ahsanteni sana kuweza kuwa na mimi kwenye tasnia nzima ya filamu na juweni wote nawapenda na nashkuru kuingia kwenye blog yangu naahidi utafurahi kuwa kwenye blog ya NDAUKA ENTERTAINMENT
Friday, January 6, 2012
kati ya filamu nilizofanya na nikafurahi hii ilikuwepo katika mwaka 2011...steven kanumba pia amekua msanii wa karibu sana kwenye kazi zangu na nashkuru sana kwa hilo kaka steven kanumba
No comments:
Post a Comment